Sheria inasemaje unapoachishwa kazi ??

Joined
Jan 7, 2015
Posts
16
Reaction score
18
hellow guys ukifanya kazi zaidi ya miaka 9 kwenye kampuni bila mkataba ila tu malipo ya NSSF kupelekewa kama kawaida na mshahara usio na salary slip ukija kuachishwa bila sababu una haki zipi kisheria
 
Dah ngumu hiyo ulifanyaje kazi bila mkataba ulilipwa kama mfanyakazi muajiriwa au kibarua tu na kama hukuwa na mkataba malipo ya NSSF yalipelekwa vp ulikuwa na payslip au salary slip
 
Dah ngumu hiyo ulifanyaje kazi bila mkataba ulilipwa kama mfanyakazi muajiriwa au kibarua tu na kama hukuwa na mkataba malipo ya NSSF yalipelekwa vp ulikuwa na payslip au salary slip



alikuwa analipwa mshahara kwa miaka yote 9 na NSSF inapelekwa kama kawaida kulingana na kiwango chake cha mshahara ila tu pesa inatolewa locally yaani unapewa tu pesa bila Pay slip wala salary slip.....kampuni inaendeshwa kienyeji hawapewi mikataba afanyaje mkuu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…