Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabunge wakihama nini kinatokea?Mi sijui sana sheria ila naomba kuelimishw akuhusu hilo mana politics is thw game of all possibles.
Sahihi kabisaSamia anabebwa na chama, yeye kama yeye si chochote wala lolote. Eneo lake la kujidai ni jikoni.
Siye yeyey.Ila watu wanatoka mbali mazeee...🤣
Sasa utamlinganisha na jpm ambaye aliharibu uchumi wa nchi hii. Huoni samia anavyofufua sector binafsi iliyouawa na jpm.Kwanza hajui hata anafanya nini
Future impossible tenseMi sijui sana sheria ila naomba kuelimishw akuhusu hilo mana politics is thw game of all possibles.
Zinatokea sana malawi ilishatokea hiyo.Ulisikia wapi Rais akahama chama akiwa madarakani?
Kwani yeye poyoyo kama wewe?
Nyie wezi ndiyo mnafurahia huu ufisadiSasa utamlinganisha na jpm ambaye aliharibu uchumi wa nchi hii. Huoni samia anavyofufua sector binafsi iliyouawa na jpm.
Kipindi cha jpm sector binafsi ilikuwa inapumulia mashine wafanyakazi wanafukuzwa ovyoovyo ili kupungiza gharama. Sasa hivi wale waliofukuzwa kwa mahotrli na mabank kugungwa wamerudi kazini.
Kwa nini samia asionekane ni lulu. Maskini tu wa fikra na wazembe wa utafutaji ndo wanamchukia samia
Ulipaswa umjibu swali lake kwa ustaarabu na sio haya maneno ya kuudhi unayomtakia.Ulisikia wapi Rais akahama chama akiwa madarakani?
Kwani yeye poyoyo kama wewe?