Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Mapato ya Serikali huyatakiwi kupelekwa kwenye miradi kabla ya kuwasilishwa kwenye Mfuko Mkuu wa Mapato ya Serikali ili kuwa na taarifa sahihi za mapato na matumizi
Kutowasilisha mapato ya serikali ni kwenda kinyume na Ibara ya 135 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Vitendo wa kutowasilisha mapato huashiria udhaifu katika usimamizi wa sheria na kanuni za Uendeshaji wa Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali
Kutowasilisha mapato ya serikali ni kwenda kinyume na Ibara ya 135 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Vitendo wa kutowasilisha mapato huashiria udhaifu katika usimamizi wa sheria na kanuni za Uendeshaji wa Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali