Sheria ipi inatumiwa na mashirika ya bima kumkata mtu ambaye hajajisajili?

Sheria ipi inatumiwa na mashirika ya bima kumkata mtu ambaye hajajisajili?

Gafla

Member
Joined
Sep 12, 2012
Posts
43
Reaction score
16
Kuna mtu yeyote anayekatwa na hili shilika NIC(NATIONAL INSURANCE COOPERATION)?. Ni sheria IPI inatumika na mashilika HAYA ya bima kumkata mteja ambaye hajasajiliwa/hajajisajili kwa hilo shilika la bima? Nawasilisha
 
Back
Top Bottom