mahirtwahir
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 613
- 313
Naomba waungwana muhusike na kichwa cha habari kisha mutowe maoni na msaada wa kisheri.
**** mke wa mtu ni muajiriwa wa muda katika taasisi ya Serekali na nafasi yake ni meneja mauzo ( muuza duka la serekali) mnamo mwezi wa 7 / 2016 alishushwa bosi wake alimuita na kumuagiza kua aingie ndani ya gari kwa safari ya kikazi dereva wa boss huyo aligoma kuendesha gari baada ya kuingia msichana huyo na kuanza kumtukana hafi kifikia kumuambia kua ni paka na kwa vile ana mimba alimuambia kua ananuka ujusi kama wa mbwa maneno yote hayo aliokua akiyukana msichana alibakia kulia na boss wake hakuweza kumkemea dereva wake kwa hilo zaidi ya kumuambia endesha gari kwa masikitiko safar ilikwendwa.
Jana yarehe 5/10/2018 alikuja yule dereva na kuingia ndani ya ofisi ya huyo binti na kusalimia "Asalamu alaikum Bikombo ndio nani hapa" akimaanisha yule mgovi wake aliuliza kwa kumjejea maaana alikua anamjua vizuri na kumuambia kua "nimeambiwa nije nikuombe razi kwa yaliotokea nyuma" bila ya kujibiwa chochote alizungunga nyuma ya yule binti na kumkumbalia kwa nyuma huku mikononyake akiwa ameishika vizuri matiti yake binti kurusha mikono jamaa alikua ameshabonyeza maziwa zamani " na waliokuwemo humu dukaninndio mashahidi" alisema yule kijana na kuondoka.
Bint alilia sana na kuomba ushauri kwangu hatua ya mwanzo nilimshauri aandike barua na kumuadisia muajiri wake ambaye ndio anaendeshwa na huyo kijana.
Naomba ushauri na muelekezo wa sheria kwa kosa kama hilo katika utumishi na makosa ya jinai na jeee kunpeleka mahakamani ni vipi na sheria ya wanawake ama utumishi inasemaje na naweza kupatiwa kipengele kinachoonesha adhabu yake jeee mahamani naeza kulipwa fidia
**** mke wa mtu ni muajiriwa wa muda katika taasisi ya Serekali na nafasi yake ni meneja mauzo ( muuza duka la serekali) mnamo mwezi wa 7 / 2016 alishushwa bosi wake alimuita na kumuagiza kua aingie ndani ya gari kwa safari ya kikazi dereva wa boss huyo aligoma kuendesha gari baada ya kuingia msichana huyo na kuanza kumtukana hafi kifikia kumuambia kua ni paka na kwa vile ana mimba alimuambia kua ananuka ujusi kama wa mbwa maneno yote hayo aliokua akiyukana msichana alibakia kulia na boss wake hakuweza kumkemea dereva wake kwa hilo zaidi ya kumuambia endesha gari kwa masikitiko safar ilikwendwa.
Jana yarehe 5/10/2018 alikuja yule dereva na kuingia ndani ya ofisi ya huyo binti na kusalimia "Asalamu alaikum Bikombo ndio nani hapa" akimaanisha yule mgovi wake aliuliza kwa kumjejea maaana alikua anamjua vizuri na kumuambia kua "nimeambiwa nije nikuombe razi kwa yaliotokea nyuma" bila ya kujibiwa chochote alizungunga nyuma ya yule binti na kumkumbalia kwa nyuma huku mikononyake akiwa ameishika vizuri matiti yake binti kurusha mikono jamaa alikua ameshabonyeza maziwa zamani " na waliokuwemo humu dukaninndio mashahidi" alisema yule kijana na kuondoka.
Bint alilia sana na kuomba ushauri kwangu hatua ya mwanzo nilimshauri aandike barua na kumuadisia muajiri wake ambaye ndio anaendeshwa na huyo kijana.
Naomba ushauri na muelekezo wa sheria kwa kosa kama hilo katika utumishi na makosa ya jinai na jeee kunpeleka mahakamani ni vipi na sheria ya wanawake ama utumishi inasemaje na naweza kupatiwa kipengele kinachoonesha adhabu yake jeee mahamani naeza kulipwa fidia