Sheria kuhusu wabunge

Ukitaka Ubaya...

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2013
Posts
498
Reaction score
140
Wakuu habari zenu kwa ujumla? naomba kufahamishwa kuhusu Mbunge anapofanya kosa la jinai akiwa ndani ya Bunge {Mjengoni} je ataadhibiwa na kanuni za Bunge tu au kuna uwezekano wa kufunguliwa mashitaka Mahakamani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…