Sheria kuu saba za uoshaji wa matunda

Ashura9

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2012
Posts
740
Reaction score
485
Hakikisha UNAFUATA SHERIA KUU SABA ZA UOASHAJI WA MATUNDA KULINGANA NA MAMLAKA YA CHAKULA NA DAWA

1. Osha mikono yako kwa sekunde 20 kwa maji ya uvugu vugu na sabuni kabla ya kuandaa tunda lako.

2. Ondoa kipande chochote ambacho kimeharibika kwenye tunda lako
3. Osha kwa kusafisha kwa nguvu kwa kutumia maji yanayo safisi (tape water)
4. Osha tunda lako vizuri kabla ya kumenya /kula
5. Kama ni matunda /mboga tumua brashi maalumu safi yenye kuondoa wadudu na kemikali mbali mbali.
6. Chukua kitambaa chako SAFI KAUSHA MATUNDA YAKO.
7. KAMA NI MBOGA KAMA KABEJI TUPA MAGANDA YA NJE NA UBAKIZE YA NDANI( Hupunguza kiwango cha kemikali, wadudu na madawa mbali mbali)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…