Sheria magerezani

Igirimo

Member
Joined
Sep 21, 2019
Posts
13
Reaction score
7
Ndugu wana jf poleni na majukumu ya kila siku.

Mimi Igirimo naomba kuelimishwa. Ni kweli kuwa mkuu wa gereza ana mamlaka ya kumuachia mtu aliyehukumiwa kifungo fulani kwa vigezo atakapitia yeye au kumbadilishia adhabu ya kifungo cha nje badala ya ndani?

Au mkuu wa gereza au magereza ana mamlaka gani kwa wafungwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…