Mhh inasikitisha sn
Hasikitishi hiyo dada Binafsi nakuwa na petroli katika galoni nimeweka ndani ya gari siku nikija kukumbana na watu kama hao simpi muda na mwagia petrol na kumuwasha utakuja shuhudia humu kwenye Jf sitanii hiyo ndio dhamira yangu ,pongezi za zati nawatumia wananchi wenye uchungu katika kuhangaika na maisha mnapokumbana na watu kama hao msiwapi nafasi ya pili katika maisha.
Mhh inasikitisha sn
Nimekuelewa kaka ila tuanze na kina Karamangi na wenzake mbona tunawalinda tuu hao ndo waliochangia hawa vijana kuwa hivi:mad2::mad2::mad2::mad2:
Hiyo picha ya pili,
huyo kijana aliyeshika kisu (mwenye kofia) ni Kada wa chama gani?
hujakutana na wezi wewe unaongea tu mimi nimeshaibiwa gari pale Millenium Tower tena la mkopo nimekatwa miaka mitatu sina hamu pia kuna siku nilipigwa roba jamaa wakala kila kitu mitaa ya nje ya DUCE kuelekea taifa walikuwa na visu, mapanga na marungu sema tu mimi nikatii kila walichosema wakaniibia simu 2, wallet, viatu, mkanda na pesaNimeshakutana na vibaka ktk anga zao mara kibao lakini sijawahi hata kufikiria kuchukua jiwe na kumrushia kibaka.
Hii biashara ya kushabikia MAUAJI itatupeleka pabaya WATANZANIA. siyo ufahari kuua vibaka. kuna mzembe fulani (inawezekana unahusika) nyuma ya meza ofisini anakwapua kwa maandishi fweza za kusomeshea vijana halafu anasahau tatizo la mbeleni la vibaka watakaojitokeza baada ya kuwa jobless na hopless
hujakutana na wezi wewe unaongea tu mimi nimeshaibiwa gari pale Millenium Tower tena la mkopo nimekatwa miaka mitatu sina hamu pia kuna siku nilipigwa roba jamaa wakala kila kitu mitaa ya nje ya DUCE kuelekea taifa walikuwa na visu, mapanga na marungu sema tu mimi nikatii kila walichosema wakaniibia simu 2, wallet, viatu, mkanda na pesa
Tokea hapo kila nikiona mwizi nahakikisha napiga vya kutosha na akifa ndio nasikia raha kwani nakuwa nimepunguza kibaka mmoja duniani
Huyo aliyeiba hapo mchikichini ni mwehu maana kupona kifo hapo ni asilimia 1 kati ya 100 ila siku hiyo aliamka na zali hiyo hiyo moja imemwokoa
sasa hivi nimenunua (kihalali) cha moto yaani nikisikia mbwa wangu wanabweka tu nje najiaandaa kumfumua mtu ubongo sina mzaha na mtu anayeitwa mwizi
Vibaka wanaboa sana ila kuwafanyia haya nadhani tunaenda mbali zaidi!
kwani unaua peke yako si mnakuwa wengi kila mtu anapiga kwa hiyo mnashea dhambiKuna siku nilishuhudia mwizi akivikwa tairi na kuwashwa moto maeneo ya Sinza! Roho iliniuma sana sana ni ukatili wa kiwango cha juu. Siwezi shuhudia hili, nimeishaibiwa sana tu ila siweki mkono wangu kuuwa, kinyume kabisa na imani yangu