...Wajameni, hakuna Yeyote Mwenye Connection na Miungu Wetu Wanaotuwekea Akiba Zetu????
...Wajameni, hakuna Yeyote Mwenye Connection na Miungu Wetu Wanaotuwekea Akiba Zetu????
Utalipwa ikifikia 2014? Mbona sijaelewa, kwa nini usianze kulipwa mara unapostaafu?
Kulipwa mafao unahitaji connection? Nilidhani kwa vile ni haki yako bsai ni easy tu, kiasi cha kupeleka documents na kupata chako. Namna hiyo aliestaaf si atakufa mapema kwa pressure za kufuatilia hayo mafao? Kesho,next month,mwezi ujao,tommorow,kesho kutwa,next week etc.