Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Hivi kwa mujibu wa katiba,kanuni na sheria za nchi ni sahihi kwa serikali kutumia jeshi la wananchi kudhibiti fujo au ghasia za wananchi?
Kama sheria na taratibu za nchi kweli zinaruhusu,kulikuwa na ulazima wa kutumia jeshi au nia na madhumuni ni kutisha raia?
Watawala mnapaswa kutambua kuwa hakuna mahali popote duniani nguvu za dola ziliwahi kushinda nguvu ya umma.
Kama sheria na taratibu za nchi kweli zinaruhusu,kulikuwa na ulazima wa kutumia jeshi au nia na madhumuni ni kutisha raia?
Watawala mnapaswa kutambua kuwa hakuna mahali popote duniani nguvu za dola ziliwahi kushinda nguvu ya umma.