Nijuavyo mimi kazi ya Jeshi letu tiifu ni kulinda mipaka ya Tanzania, suala la vurugu na fujo za ndani ni kazi ya Jeshi la Polisi, hata hivyo inawezekana mkuu wa mkoa hakuwa na imani na hawa wazee wa magunia 18 ya ''majani ya kijamaica'' kama wangeweza kutuliza hii ghasia, mwenye uelewa zaidi katika hili atujuze tafadhali wakuu.