kwanza inategemea na idadi ya walimv katika shule,idadi ya vipindi,na idadi ya mikondo.. namaanisha kama kutakuwa na walmu weng wa somo flani bas vipind lazma vipungue kwa mwl husika
Vpnd 16 kwa wikipedia
Na maths ina vpndi vingapi kwa wiki?
Pamoja na hivyo lazima kutakua na muongozo unaosema wastani wa vipindi kwa mwalimu.