Nguvu Yetu
New Member
- Sep 13, 2017
- 4
- 1
Habari wana-Jf.
Kulingana na namna ya kumiliki shughuli au jambo fulani nchini mwetu, yatupasa kuzifahamu sheria na taratibu katika jambo husika. Pia kutokuzifahamu taratibu hizo na sheria ni kosa kisheria.
Nimeingia mtandaoni mara nyingi nikizitafuta taratibu na sheria za "ENTERPRISES COMPANY" ili niweze kuzifahamu kulingana na wazo nililo nalo ili kupunguza msukosuko wa kutokuijua sheria nimezikosa. Hapa nina maanisha sheria na taratibu za nchini mwetu JAMHURI Tanzania bara na visiwani
Naomba mwana-Jf anaefahamu kuhusu taratibu na sheria za "enterprises company" anisaidie.
Asante sana.
[HASHTAG]#MAENDELEO[/HASHTAG] NI WATU.
Kulingana na namna ya kumiliki shughuli au jambo fulani nchini mwetu, yatupasa kuzifahamu sheria na taratibu katika jambo husika. Pia kutokuzifahamu taratibu hizo na sheria ni kosa kisheria.
Nimeingia mtandaoni mara nyingi nikizitafuta taratibu na sheria za "ENTERPRISES COMPANY" ili niweze kuzifahamu kulingana na wazo nililo nalo ili kupunguza msukosuko wa kutokuijua sheria nimezikosa. Hapa nina maanisha sheria na taratibu za nchini mwetu JAMHURI Tanzania bara na visiwani
Naomba mwana-Jf anaefahamu kuhusu taratibu na sheria za "enterprises company" anisaidie.
Asante sana.
[HASHTAG]#MAENDELEO[/HASHTAG] NI WATU.