Sheria na ukimwi

Sheria na ukimwi

masanzu

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2013
Posts
605
Reaction score
217
Wana sheria hebu niambieni hivi mtu akimwambukiza mtu ukimwi kwa makusudi sheria inasemaje?
 
ni Kosa kisheria, kifungu cha 179 , cha sura ya 16 ya sheria za jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kama zilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2002, inasema(S.179 of the Penal Code, cap 16. R.E. 2002, Provides, Any person who unlawfully or negligently does any act which is, and which he knows or has reason to believe to be likely to spread the infection of any disease dangerous to life, is guilty of a misdemeanour) ila ukisoma kipengele cha 6.6 cha sera ya ukimwi mwaka 2001, serikali iilikua na mkakati wa kurekebisha sheria ya kanuni za adhabu,http://www.tanzania.go.tz/pdf/serayaukimwi.pdf) ( ili kutia watu hatiani kwa kuambukiza ukimwi, makusudi, sina taarifa sahihi kama hili limeshafanyika kama limeshafanyika wenzangu watanisahihisha.
 
Angalia kifungu cha 35 cha sheria ya kuzuia maambukizi ya ukimwi. Ni kosa la jinai kumwambukiza mwenzio.
 
Back
Top Bottom