Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,258
Wakuu
sio kwamba nimekosea jukwaa ila naona hili linahusika sana humu pia
mara nyingi sana kwa sisi watz utakua akiwepo mzungu mmoja au wawili au watatu lugha inabadilishwa tunaongea kiingereza (sio kizungu maana wazungu ni wengi wenye lugha zao)
Kwa bahati nzuri siku moja nilimsikia mshreheshaji mmoja akisema kwa sera za nchi ikiwa 70% waliohudhuria ni wazawa basi lugha ya wazawa (walio wengi itazungumzwa) ila hakunukuu sera yenyewe
Naommba mwenye ufafanuzi wa kina katika hili tusaidiane na tuwe makini na kugha yetu isidharaulike kwani ukienda kwa nchi za wenzetu China na kwingineko hata kama waswahi,li mko wengi wataongea Kichina etc
sio kwamba nimekosea jukwaa ila naona hili linahusika sana humu pia
mara nyingi sana kwa sisi watz utakua akiwepo mzungu mmoja au wawili au watatu lugha inabadilishwa tunaongea kiingereza (sio kizungu maana wazungu ni wengi wenye lugha zao)
Kwa bahati nzuri siku moja nilimsikia mshreheshaji mmoja akisema kwa sera za nchi ikiwa 70% waliohudhuria ni wazawa basi lugha ya wazawa (walio wengi itazungumzwa) ila hakunukuu sera yenyewe
Naommba mwenye ufafanuzi wa kina katika hili tusaidiane na tuwe makini na kugha yetu isidharaulike kwani ukienda kwa nchi za wenzetu China na kwingineko hata kama waswahi,li mko wengi wataongea Kichina etc