micky 00
Member
- Apr 24, 2017
- 98
- 98
Haya ni mambo ambayo unaweza ukafanya ukajua ni kawaidaa ila ni hatari katika sheriaah 1) UWONGO unaweza ukapigwa nda kuanzia miezi mitano na kuendelea au faini ya laki 5 kwenda juu 2) UCHAFU Mtu akikushitakiii kuhusuu uchafuu nikifungo cha miezii mitatuu na faini juu 3) ULAFII yaani apa ndo bila ata huruma mwaka mzimaa ndanii unapigwa 4) UZEMBE hii haswaa wanapigwa faini walee wazembeeee ..kuwekwa ndani mara chachee sana wanaweza wakafaah ... 😀😀😀😀😀😀