Sheria ya ajira inasemaje juu ya vyama vya wafanya kazi? Ni hiari ama lazima?

sirluta

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2012
Posts
6,325
Reaction score
2,491
Mke wangu ambaye ni mwalimu wa shule ya serikali ameshangaa kukuta kwenye risiti ya mshahara makato ya CWT CONTRIBUTION wakati hajawahi kuomba wala kujiunga na chama hicho. Kuna sheria ya kumwunganisha mtu kwenye chama bila kumshirikisha? Nadhani limewatokea na wengine. Afanyeje kama hayupo tayari?

Nawasilisha.
 

Mkuu Sirluta naomba kuongezea hapo hapo pia kwa makampuni binafsi inasemaje sheria kuhusu hivi vyama kwa mfano TUICO, je ni lazima kujiunga.

wajuzi karibuni mtusaidie.
 
Nikiona neno cwt natamani nimiliki mguu wa kuku nimtafute mukoba
 
Nikiona neno cwt natamani nimiliki mguu wa kuku nimtafute mukoba
hivi walishafanyiwaga auditing? C. A. G hahusiki kukifanyia hiki chama ukaguzi wa fedha?
 
Kimsingi nadhani hii ni haki ya mfanya kazi, sas sijajua vizuri inavyo fanya kazi. Chukua mfano wa haki ya binaadam ya kuishi ni lazima au uamuzi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…