mikononyuma
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 641
- 600
1. Ardhi katika nchi hii inamilikiwa na dola ao mwananchi?
2. Ardhi kuwa shamba, kiwanja cha makazi /biashara n.k hurasimishwa na mamlaka husika, je sisi tuliojenga,kuendesha kilimo n.k huku kijijini kwenye maeneo ya kurithi ambapo mamlaka inayorasmisha matumizi husika haijatufikia wala hatuijui, tunatumia ardhi ya nani?
3. Umiliki wa ardhi iliyorasimishwa matumizi yake na mamlaka husika /kupata hati ni kujihakikishia umiliki wa milele na maana kizazi adi kizazi, na kama ni ivyo sisi wa huku kijijini tumekuwa tunarithi kisichokuwa chetu kwani mamlaka akifanikiwa kufika atarasimisha na kutupokonya sisi vilembwe wa mmiliki aliyerithisha kizazi kwa kizazi adi nasi wa miliki wa sasa kuwa katika mnyororo huo ?
2. Ardhi kuwa shamba, kiwanja cha makazi /biashara n.k hurasimishwa na mamlaka husika, je sisi tuliojenga,kuendesha kilimo n.k huku kijijini kwenye maeneo ya kurithi ambapo mamlaka inayorasmisha matumizi husika haijatufikia wala hatuijui, tunatumia ardhi ya nani?
3. Umiliki wa ardhi iliyorasimishwa matumizi yake na mamlaka husika /kupata hati ni kujihakikishia umiliki wa milele na maana kizazi adi kizazi, na kama ni ivyo sisi wa huku kijijini tumekuwa tunarithi kisichokuwa chetu kwani mamlaka akifanikiwa kufika atarasimisha na kutupokonya sisi vilembwe wa mmiliki aliyerithisha kizazi kwa kizazi adi nasi wa miliki wa sasa kuwa katika mnyororo huo ?