Sheria ya fao la kujitoa

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258
Nimepata mkanganyiko kidogo na hii sheria hasa kipengele kwamba wafanyakazi wa mikataba hawahusiki na hii sheria yaani wale wenye mikataba say miaka miwili nk ila zaidi inawahusu wale wafanyakazi wenye mikataba mirefu (Pensionable)

aliyechimbua zaidi hii sheria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…