Sheria ya gari kugonga treni ibadilishwe

Sheria ya gari kugonga treni ibadilishwe

Kamura

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2011
Posts
507
Reaction score
52
Madereva wa treni wa treni wanatumia vibaya kinga ya kutogonga kwa kuwagonga magari, pikipiki, baskeli na waenda kwa miguu kwa kuwa wana kinga na hivyo kusababisha kupoteza nguvu kazi ya Taifa. Ninashauri treni inapogonga trafiki wapime kama wana makosa nao wafikishwe mikononi mwa sheria.
 
Umeniweka gizani badala ya kwenye mwanga.Hiyo sheria ya treni na magar inasemaje, na unataka isemeje?
 
Back
Top Bottom