Sheria ya Haki Miliki, wanachotaka wasanii kitatufunga wote!

Sheria ya Haki Miliki, wanachotaka wasanii kitatufunga wote!

Uswe

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
2,204
Reaction score
627
Kuna mtu anakua interviewed TBC anasema mchakato wa kupata sheria mpya ya haki miliki kwa ajili ya kulinda maslahi ya wasanii imefikia sehemu nzuri sana, jamaa anadai mapendekezo ya wasanii ni kwamba si tu muuzaji wa kazi feki ila hata yule aliyenunua kazi feki nae atiwe hatiani.

my take:
Kama sheria itakua hivyo kweli basi wengi watafungwa, si kwa sababu watu wanapenda kununua kazi feki ila kwa sababu wengi hawawezi kutofautisha feki na hizo wanazoziita original
 
Na wao inabidi walipe kodi,feki hauwezi kudhibti,wanaibiwa kina tom cruise wanaibiwa kina jayz ndio itakua juma nature na ray?
 
Back
Top Bottom