Sheria ya kukonyeza ilikuja mwaka gani?

Muyobhyo

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2014
Posts
8,149
Reaction score
6,547
Kuna mwaka 1 sikumbuki mwaka gani, wabunge wetu mjengoni walisisitiza sheria ya kukonyeza ipitishwe na ukimkonyeza mtu yoyote hasa mwanamke basi wewe ni miaka mitano jela, nadhani wadau mtaikumbuka hii ikaleta mzozo sana bungeni, ilikuwa mwaka gani anayekumbuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…