Sheria ya kumpa mimba mwanafunzi wa chuo!

Sheria ya kumpa mimba mwanafunzi wa chuo!

incredible terminator

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2016
Posts
2,498
Reaction score
4,162
Wakuu nilikuwa nauliza kuwa kunasheria ya kumshtaki mtu aliempa mwanachuo level ya certificate mimba? [emoji24] [emoji24] [emoji24]
 
Wakuu nilikuwa nauliza kuwa kunasheria ya kumshtaki mtu aliempa mwanachuo level ya certificate mimba? [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Mwanachuo si mtu mzima huyo mkuu yaani 18+? Kama kapigwa mimba si kwa utashi wake kabisa na vyuo vingi vinaruhusu binti mwenye mimba kuendelea na masomo? Au alibakwa?
 
Mwanachuo si mtu mzima huyo mkuu yaani 18+? Kama kapigwa mimba si kwa utashi wake kabisa na vyuo vingi vinaruhusu binti mwenye mimba kuendelea na masomo? Au alibakwa?
Amezaliwa 1997 yupo above 18+ ila was was wangu nikajua nitafungwa maana baba yake anapesa ukilingajisha na maisha ya mimi[emoji24] [emoji24] [emoji24]
 
Kama yupo above 18 na anasoma chuo hiyo siyo kesi. Huyo mshua anaweza tu kukutia jamba jamba lakini at the end of the day hakuna kesi hapo.
 
Sheria ya chuo inaruhusu mwanafunzi kutiwa mimba na wanatoa mapumziko kwa mwanafunzi mjamzito anapokaribia kujifungua...hapo wahusika wakubaliane tu namna ya kulea kiumbe
 
Chuo cha certificate huyo demu atafukuzwa chuo
Ila huwez fungwa
 
Amezaliwa 1997 yupo above 18+ ila was was wangu nikajua nitafungwa maana baba yake anapesa ukilingajisha na maisha ya mimi[emoji24] [emoji24] [emoji24]
Mzazi anayohaki ya kukushtaki kwa kumuharibia maisha mtoto wake. Huwezi kushindana na mwenye pesa
 
Haitwi mwanafunzi wa chuo ! Anaitwa mwanachuo full stop !
Mwanafunzi ni msingi na sekondari.
 
Back
Top Bottom