Sheria ya kupiga marufuku kueneza Ukristo Israel jela miaka 2


Wewe ongea kishabiki wakati upo buza while wenzako tuko deep hadi tunawala watoto wa kijewish,wewe kaa hapo buza na brainwash yako 😂,nakupa reality nachokiona wewe unaleta hisia 😂
 
Yaani hapo ndio ujinga wa Wakristo wenye akili fupi kama wewe... yaani hadi leo bado hujaelewa Kama ISIS wala Al Shabab wala Alqaida hawawakilishi waislamu??? Kwa sababu hujui na hujui kama hujui.

Laiti ungefungua macho kufuatilia angeshajua kuwa kuna majina mengi ya viongozi wa Kiisilamu.walishawekwa kwenye list ya hayo makundi uliyoyataja kwa kukemea wanachofanya..... sasa wewe bado una akili za 1999.

Halafu, utajipendekeza na Israel lakini ukweli ni kuwa Israel hawawakubali Wakristu, wala Yesu...ni Bora Waislam wanamkubali na kumuheshimu Yesu, ingawa hatukubaliani na madai yenu ya kumuita Mungu wala mwana wa Mungu.

Nenda kasome historia vizuri, ingekuwa waislam wanataka kuwauwa wakristo hadi sasa Mashariki ya kati kusingekuwa na Mkiristo hata mmoja...lakini wapo wengi tu kule.
 
Haifa,tel aviv,ashdood ni kawaida kusikia adhana ya kiislam,na ukiingia deep Islam na jewish tofauti ni ndogo sana,sasa huku ukute wakristo wa buza wanavyoinyenyekea israel 😃
Inaeleweka kabisa kuwa Jewish na waislam ndio wapo wengi, ila Waislamu wa kwampalange hawataki kuelewa
 
Dah Wakristo Poleni sanaaa mumepigwa na kitu kizito kichwani yni taifa teule linakataa musisambaze dini yenu ohooo akili kumkichwa jameni

Ukristo ni dini ya upigaji sio dini ya kweli amkeni jamanii mtakuja juta nyie

Taifa teule linawakataa hivi hivi yani
 
Akili za Kitumwa na umaskini wa fikra vinakusumbua.
 
Na wengi hawajui kwamba licha ya kuwa Chawa wa Israel, Wakristo ndani ya Israel hawazidi 2% ya population na karibu wote ni Arabs. Hakuna kitu kibaya kama kushabikia vitu blindly.
Hawaelewa na hawatakaa waelewe
 
Halafu kuna watanzania wana vibendera vya Israel vinapepea kwenye magari yao [emoji23][emoji23][emoji23]

Kidogo kidogo dunia watamuelewa muisrael ni nani!!!
Soma habari uielewe. Mleta habari naye kapungukiwa.

Ni uwongo kuwa kuna mswada wa namna hiyo. Hayo yalikuwa yalikuwa maoni ya kiongozi wa chama chenye mlengo mkali wa kidini. Haujawa mswada.

Mwandishi wa habari aliandika aliyoyataka, tofauti na uhalisia.



Israel haijawahi kuzuia ukristo na haiwezi kufanya hivyo, lakini wayahudi wanaowachukia wakristo hawatakosekana, ingawa chuki yao huwezi kuilinganisha hata na ile yabaadhi ya wazanzibari kwa Wakristo.
 
Nilitaka kukujibu lakini kwa sababu Post yenyewe imepitwa na wakati nimeona NIK-u ache tu maana UHARO ulioutoa hapo inaonyesha wazi wewe hujui kitu.
 
Halafu kuna watanzania wana vibendera vya Israel vinapepea kwenye magari yao [emoji23][emoji23][emoji23]

Kidogo kidogo dunia watamuelewa muisrael ni nani!!!
Walivyo wajinga wanasemaga israeli taifa teule, yan majitu majinga yapo mengi sana
 
Israel nzima ina wakristo asilimia 1.9 kama sikosei na kwa population yao ni kama 185000 tu na wengi ni waarabu wakristo, hawawez kushinda nguvu ya wayahudi walio wengi ambao wana nguvu na hawautaki ukristo kwenye nchi yao, watu wanaoeneza christianity Israel huwa wanafanyiwa vitu vibaya sana na vya dharau.
 
Walivyo wajinga wanasemaga israeli taifa teule, yan majitu majinga yapo mengi sana
Ni kweli kabisa ni Taifa teule hiyo simu yako,Computer na mitandao yote ya kijamii haijakamilika bila kuwepo mkono wa Taifa Teule,sasa hivi unabwabwaja hivi ni kwa sababu wayahudi wamekuwekea miundombinu hiyo hata hii Internet unayotumia kuna mkono wa muyahudi sema tu kwa kuwa ni Mjinga hulijui hilo. Pia ili ujue ni Taifa teule waarabu walijikusanya ili walifutilie mbali taifa hilo lakini walishindwa Angelia vita walizopigana na kushinda hapo chini na vita hii Hamas,Hezbollah,Syria,Iraq,Houthi na West-Bank walijaribu lakini walishindwa pamoja na Bwana wao Iran hapo ndipo ujue ni Taifa teule utake usitake wao watabaki hivyo!!
 

Attachments

  • IMG_1124.jpeg
    110.1 KB · Views: 2
Kama wanavyofanyiwa hapa Dar? Mara Matangazo yao yanachanwa makanisa yanachomwa moto wachungaji kumwagiwa tindikali. Hayo uliyoyasema hapo juu ni uongo wayahudi wengi wana dini yao ya kiyahudi na pia wako wengi wakristo wala hakuna ubaguzi kama unaousema na Serikali inawatambua hizo dharau ni kama zako tu unavyowadharau wakristo ukiwaona hivyo hakuna tofauti!!
 
Mkuu mimi ni mkristo nimesimama tu kwenye ukweli unlike you guys kila kitu mnaki sugarcoat
 
We jamaa me nlishapita hizo level za kuwa brainwashed na nikaongea upuuz kama huo, taifa teule ni Tanzania...wazungu wanawadanganya danganya mnayachukua kama yalivyo, kwanini taifa teule lisiwe tanzania mkuu ? Wazungu waongo waongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…