Sheria ya kupiga marufuku kueneza Ukristo Israel jela miaka 2

Halafu kuna watanzania wana vibendera vya Israel vinapepea kwenye magari yao [emoji23][emoji23][emoji23]

Kidogo kidogo dunia watamuelewa muisrael ni nani!!!
Yaani hata wapige marufuku sisi jamii ya kikristo tutaendelea kuisupport Israel na hiyo hdmtokuja kuielewa wala kutuelewa. Ukristo siyo uislamu hauwezi kwenda mnavyotka nyinyi au kwenda kama uislamu.
 
We jamaa me nlishapita hizo level za kuwa brainwashed na nikaongea upuuz kama huo, taifa teule ni Tanzania...wazungu wanawadanganya danganya mnayachukua kama yalivyo, kwanini taifa teule lisiwe tanzania mkuu ? Wazungu waongo waongo
Tanzania taifa kulingana na kitabu gani? Taifa teule linasaini mikataba ya madini kwa miaka 100 kwa bei poa.
 
Tanzania taifa kulingana na kitabu gani? Taifa teule linasaini mikataba ya madini kwa miaka 100 kwa bei poa.
Kitabu kimeandikwa na wao , wakaja wakawabrain wash watu wa dizain yako na ndio mana watu kama wewe kwakuwasomea mistari ya vitabu vyao huku wanaiba madini, Mambo ya Religion ni scam mzee sio lazima upitie dini fulan ndio uwe unamjua Mungu, wake up man
 
Mwenye ile video ya kiongozi mmoja aliyokuwa anasema kwamba Yesu na mkewe walikosa pa kulala aweke
 
Halafu kuna watanzania wana vibendera vya Israel vinapepea kwenye magari yao [emoji23][emoji23][emoji23]

Kidogo kidogo dunia watamuelewa muisrael ni nani!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…