Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sheria Namba 8 ya mwaka 2011

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Toleo hili la Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sheria Namba 8 ya mwaka 2011 limezingatia na kuweka pamoja mabadiliko yote yaliyofanywa katika Sheria hii tangu ilipotungwa mwaka 2011 hadi tarehe 28 Februari, 2012 na limechapishwa kwa mujibu wa kifungu cha 4 cha Sheria ya Urekebu Sheria Sura ya 4.


Dar es Salaam,

FREDERICK M. WEREMA
Mwanasheria Mkuu wa Serikali

28 Februari, 2012


Habari zaidi soma kiambatanisho
 

Attachments

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…