Sheria ya makosa ya jinai

tallnoma

Member
Joined
Sep 16, 2012
Posts
20
Reaction score
2
jamii ya kitanzania inatakiwakuelemishwa jinsi sheria zetu baadhi zinavyokinzana zenyewe, mfano katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania inampa mtanzania HAKI YA KUISHI ,ukirudi kwenye SHERIA YA MAKOSA YA JINAI kuna adhabu HUKUMU YA KIFO ilohalalishwa na kupoteza mana ya haki ya kuishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…