K kahigwa Member Joined Nov 14, 2011 Posts 33 Reaction score 14 Nov 20, 2013 #1 naomba kujua iwapo msimamizi kagawa mali za marehemu kwa upendeleo kwa baadhi ya watoto wa marehemu, ni vifungu gani vya sheria vinaweza kumbana ili atumia haki na usawa?
naomba kujua iwapo msimamizi kagawa mali za marehemu kwa upendeleo kwa baadhi ya watoto wa marehemu, ni vifungu gani vya sheria vinaweza kumbana ili atumia haki na usawa?
I IDUNDA JF-Expert Member Joined Oct 31, 2013 Posts 456 Reaction score 155 Nov 20, 2013 #2 View attachment 122534 kukipata bofya hapa SHERIA KWA KISWAHILI ndani yake kuna mambo yote ya mirathi, wosia, watoto wa kambo, etc.
View attachment 122534 kukipata bofya hapa SHERIA KWA KISWAHILI ndani yake kuna mambo yote ya mirathi, wosia, watoto wa kambo, etc.