KingKacha Senior Member Joined Jun 15, 2016 Posts 118 Reaction score 119 Jun 21, 2016 #1 Nauliza , hivi mtu akikata mti wa asili bila kibali wala sababu yoyote ya msingi naweza mshitaki? Na je? Sheria inasemaje kuhusu hili?
Nauliza , hivi mtu akikata mti wa asili bila kibali wala sababu yoyote ya msingi naweza mshitaki? Na je? Sheria inasemaje kuhusu hili?
Vangigula JF-Expert Member Joined Aug 13, 2015 Posts 852 Reaction score 2,739 Jun 21, 2016 #2 Kama huo mti unalindwa na sheria, yes, unaweza kumshitaki