Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai (CPA) 21(1,2) na Kamanda Kamuhanda

Hizi sheria kwenye nchi hii ni kwa baadhi ya watu, wengine wako juu yazo.


Hivi sheria inasemaje kuhusu raia mwenye ushahidi kumfungulia mashtaka huyu Kamanda muuaji?

hawa form four failure wataelewa hizo sheria zilizowekwa kwa kizungu? Hii nchi wanasheria sijaona kazi yao zaidi ya kuandika hukumu mbili mahakamani ili kupima nani ana hela wampendelee. Kuna mambo mengi sana ya kisheria wanashindwa kutufafanulia sie tuliokariri biology
 

Hawa Polisi Wanaonunuliwa Magari Makubwa VX V8!! Wengine Hata kuonja darasa Bado na unapewa Kuwa RPC Unategemea alinde Vipi Kazi yake kama sio Kuwanyamazisha Wahandishi na Kutumia "Ndumba" Kujishikizia!!
Kama hatutaepukana na Haya mambo ya Kutoa Vyeo kwa Kujuana Tusitegemee Mambo Makubwa Katika Haya Mauaji yanayoendelea!! Ni sawa unavyosikia Watu wanachuna Ngozi na Hukumu zinatolewa Kali ila watu Hawaachi Kuchuna!! Ndio Vivyo hivyo Hawa polisi wanaolinda Vyeo Vyao kwa upanga.!
 
well said mwanakijiji.
katika tukio la mauaji ya Mwangosi kulikuwa hakuna arrest ya mwandishi
kilichopo ni mauaji ya mwandishi akiwa kazini na sio arrest.
Nguvu iliotumika haihusiani na arrest kwa hivo mauaji yale yanahusika moja kwa moja na murder.
hatukuona sehemu anaresist kukamatwa bali aliomba ulinzi wa kamanda na tukio la kumwokoa mwenzie wa Nipashe
ukiisoma sheria na kifungu tajwa kwa makini utaelewa how to construe it to give a clear meaning.
kwa hivo kosa la kamuhanda halihusiani na kifungu ulichotaja bali murder c/s 196 of the Penal Code
 
Hizi sheria kwenye nchi hii ni kwa baadhi ya watu, wengine wako juu yazo.


Hivi sheria inasemaje kuhusu raia mwenye ushahidi kumfungulia mashtaka huyu Kamanda muuaji?

Kapotolo, hili ulilosema kweli, wataalam watusaidie make watawala hawajali.
 
Sijafahamu PGO itakuwa inasemaje juu ya hili.Hope kwa hiyo PGO ya kikoloni japo inawasaidia kina Kamhanda bado kwa hili ingemng'ang'aniza Kamhanda asote
 
sasa hawa wnaojiita wnaharakati wa haki za binaadamu mbona wako kimya? tgnp, lhrc, tamwa...mko wapi? kumbe mnaweza mkafungua kesi sasa mbona kimya? Bi Heleni Kijo Bisimba wa Lhrc ulisema utawapeleka the hegue, huko ni mbali, anzia hapahapa kwa kumshitaki kamhanda!
 

Nakumbuka Zombe baada ya kutekeleza mauaji ya wachimbaji wa madini akiwa kaimu kamanda wa polisi kanda maalum dar, alihamishiwa rukwa baada ya tume ya jaji kipenka kumtia hatiani sheria ilichukua mkondo wake.
Kamuhanda it just a matter of time utapanda kizimbani
 
Juzi nilimuona Juma Duni Haji pale jangwani akisema "NCHI HII KUNA WATU WENYE HAKI YA KUISHI NA WATU WENGINE WANA HAKI YA KUFA "
kwa hali hii Kamuhanda ni ngumu kujiuzulu maana alikuwa anatekeleza amri ''HALALI '' ya bosi wake.
 
Tuwasubirie washitaki maarufu kama C Mtikila kuja kumshitaki huyu bwana Kamuhanda

Vinginevyo huwa nakubali vifungu vya hotuba ya The former South African president , alisema hivi "Bynow every one of us has seen it practically that the Blacks cannot rulethemselves. Give them guns and they will kill each other" P W Botha -August 18, 1985
 
Kama una ushahidi peleka kwa DPP ili aruhusu kufungua mashitaka!!! Hakuna private prosecutors kama akina Ken Starr hapa TZ.
Kwa DPP tena, kesi ya nyani kuipeleka kwa ngedere
 
unajua sheria ina ruhusu wawepo... ila sijui ni kwa kiasi gani tumewahi kuwatumia.
sio kwamba tu inaruhusu wawepo, ni kwamba wapo, na private prosecutor wengi tu wamekuwa wakiendesha kesi hapa tz. nilishawahi kukutana na issue kamahizi mara kadhaa mahakamani, ila wanachotakiwa, ni kuwasiliana na ofisi ya mwanasheria mkuu/dpp ili wawe chini ya maelekezo ya ma state attorney.
 

Asante sana; na nadhani ya kwako hili ni muhimu zaidi kwa sababu kama hawakuwa wanamkamata au kumzuia asitoroke then kilichotokea kama unavyosema it was a pure criminal act but police thugs under Kamuhanda...
 

Asante sana; na nadhani ya kwako hili ni muhimu zaidi kwa sababu kama hawakuwa wanamkamata au kumzuia asitoroke then kilichotokea kama unavyosema it was a pure criminal act but police thugs under Kamuhanda...
 
uko sahih mheshimiwa mwanakijiji ila naomba nam nichangikia kuhusu kamuhanda kuwa mshtakiwa number moja(principal offender), kwa common laws kamuhanda ni accesory na sio mshitakiwa number moja, kwa mtu kuwa mshtakiwa number moja ktk makosa yanayojumuisha watu weng lazima kuwe na utimilifu wa actus reus na mens rea, kwa hiyo mtuhumiwa number moja ni yule askar aliyefikishwa mahakaman ila kwa provision uloleta kamuhanda is also liable as an accesory though ana makosa ya mal-administration, so lile group lote la askar wote kisheria wanahitajika kushtakiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…