Sheria ya Ndoa inasemaje kuhusu mali zilizochumwa kabla ya ndoa?

Write your reply...hii sheria ya ajabu sana asee

chukua hatua mapema
 
Sikumbuki ni redio gani na kipindi kinaitwaje ila nlimsikiliza mwanasheria akiwa analijibu hili, alisema kuwa wakati mnaoana unaweza kuziainisha zile mali ulizochuma mwenyewe kabla ya ndoa na mke pia kama ana zake ataziainisha na ikitokea mkaachana basi hizo mali hazitahusika kwenye mgawo ila kama hukufanya hivyo wakati mnaoana basi mali zote zitahusika
 
Mungu wangu kumbe ni hivyo tena?!?hii sheria mbona INA upendeleo mbovu kabisa kwa wanawake!!!!. Wabeja sana wang'wise.
 
rejea kesi ya Bi hawa mohamed na mumewake
 
rejea kesi ya Bi hawa mohamed na mumewake
nimejenga nyumba kwenye kiwanja cha mke wangu alichonunua tukiwa kwenye ndoa,je nyumba ni yake au yetu?..akichukulia mkopo bila kunishirikisha na akashindwa kurejesha,wakopeshaji wana haki ya kuiuza?
 
Mambo si hivyo
Mchango unaangaliwa
 
NAHITAJI MTAALAM ATAKAYEWEZA KUNIONGOZA NAMNA YA KUACHANA NA MKE KWA USALAMA NIPO SONGEA PIA ANAWEZA KUNICHEKI KUPITIA 0764093436
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…