kahtaan
JF-Expert Member
- Jul 11, 2009
- 18,760
- 11,343
Kanisa libadilishe sheria ya Ndoa
Na Mwandishi Wetu-
WANAWAKE wa kanisa katoliki wamedaiwa kutoziheshimu ndoa zao kwa kutambua kuwa kanisa haliruhusu talaka.Kufuatia hali hiyo inayodaiwa wanawake kuwanyanyasa wanaume ili kuweka haki sawa katika ndoa za kikristo kanisa limeombwa kubadilisha sheria ili talaka ziweze kutolewa.
Waumini kadhaa wa kanisa katoliki mjini Mbeya waliohojiwa wamedai kuwa wanawake wengi waliolewa hujingiza katika utovu wa nidhamu na kutoheshimu ndoa.
Mwenyekiti wa vijana wa parokia ya Mwanjelwa Grasiano Nziku ameeleza kuwa wanawake wengi hujivunia sheria ya ndoa ya kanisa ambayo hairuhusu talaka.
Akifafanua alisema ingelifaa kanisa lifikirie mabadiliko ya sheria ili kuruhusu talaka pale kanisa litakapothibitisha kuwa kuendelea kwa ndoa kunaweza kuhatarisha usalama mume na mke.Alisema kuwa sheria ya sasa imewafanya wanandoa kutengana bila kibali cha kanisa na kudumu katika maisha nje ya ndoa kwa muda mrefu pasipo sababu.
Na Mwandishi Wetu-
WANAWAKE wa kanisa katoliki wamedaiwa kutoziheshimu ndoa zao kwa kutambua kuwa kanisa haliruhusu talaka.Kufuatia hali hiyo inayodaiwa wanawake kuwanyanyasa wanaume ili kuweka haki sawa katika ndoa za kikristo kanisa limeombwa kubadilisha sheria ili talaka ziweze kutolewa.
Waumini kadhaa wa kanisa katoliki mjini Mbeya waliohojiwa wamedai kuwa wanawake wengi waliolewa hujingiza katika utovu wa nidhamu na kutoheshimu ndoa.
Mwenyekiti wa vijana wa parokia ya Mwanjelwa Grasiano Nziku ameeleza kuwa wanawake wengi hujivunia sheria ya ndoa ya kanisa ambayo hairuhusu talaka.
Akifafanua alisema ingelifaa kanisa lifikirie mabadiliko ya sheria ili kuruhusu talaka pale kanisa litakapothibitisha kuwa kuendelea kwa ndoa kunaweza kuhatarisha usalama mume na mke.Alisema kuwa sheria ya sasa imewafanya wanandoa kutengana bila kibali cha kanisa na kudumu katika maisha nje ya ndoa kwa muda mrefu pasipo sababu.