Mu-Israeli
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 2,454
- 975
- Thread starter
-
- #21
tunataka mafao yetu, suala la kusubir mpk retirement age 55-60 ni jambo sio muafaka kwa watz wa sasa ukizingatia our Tanzanian's life expectancy ni miaka 51 kwa wanaume na 54 kwa wanawake( source indexmundi-CIA) wanasiasa zingatieni hili
Wana JF,
Nimefuatilia mijadala mimngi hapa JF inayohusu swala la mafao ya kujitoa.
Nimeona kuwa watu wengi hawajui kuwa mafao ya kujitoa PPF yapo kisheria na kudhani kuwa mafao hayo yanatolewa na PPF kama hisani tu.
Kwa sababu hiyo, SSRA, serikali na watu wengine wametumia mwanya huo kupotosha ukweli kuhusu mafao hayo, na kusema kuwa mafao hayo hayapo kisheria.
PPF Act No. 25 ya mwaka 2001, kifungu cha 44 kinasema yafuatayo:-
Withdraw Befefits"
44.-(1) Where a member ceases to be employed in circumstances in which he is not eligible for any pension, gratuity or any other benefit under the provisions of this Act, he shall be refunded the amount of his own contributions and that of his employer to the Fund.
(2) Where a member has been employed for a period of not less than five years and the
cessation of such employment is not due to dismissal for misconduct the amount of his own
contribution and that of his employer together with a simple interest at that rate to be determined
by the Board of Trustees shall be paid to him.
Kwa kifupi kabisa, mafao ya kujitoa PPF yapo kisheria kabisa, na wala sio hisani, na wala sio kinyume cha sheria.
PPF huwa hawataki kusikia hiyo kitu hasa kwa wafanyakazi wa mashirika ya umma ingawa NSSF ndiyo ilikuwa inatoa fao hilo.
nafikiri hata kama hawatatoa hela basi waweke utaratibu hata wa kukopesha nyumba au mali nyingine kama walivyoahidi maana hata wakulipa pesa mwisho wa siku inaweza isiwe na impact kwenye maisha maana siye wengine tukilipwa pesa lumpsum inakuwa taabu
Sote tunajua kwamba yalikuwepo, lakini sheria mpya ya kuanzisha mamlaka ya kusimamia mifuko ya jamii maarufu SSRA imefuta mafao ya namna hiyo na hicho ndicho kinacholalamikiwa. Kwa ufupi ni kwamba hiyo sheria unayonukuu leo imeishapitwa na wakati na haina nguvu tena kisheria
Naona unazungumzia PPF, vipi kuhusu NSSF, PSPF, & LAPF? au ulivyosema PPF ulikuwa na maana ya mifuko yote ya hifadhi ya jamii???
Wana JF,
Nimefuatilia mijadala mimngi hapa JF inayohusu swala la mafao ya kujitoa.
Nimeona kuwa watu wengi hawajui kuwa mafao ya kujitoa PPF yapo kisheria na kudhani kuwa mafao hayo yanatolewa na PPF kama hisani tu.
Kwa sababu hiyo, SSRA, serikali na watu wengine wametumia mwanya huo kupotosha ukweli kuhusu mafao hayo, na kusema kuwa mafao hayo hayapo kisheria.
PPF Act No. 25 ya mwaka 2001, kifungu cha 44 kinasema yafuatayo:-
Withdraw Befefits"
44.-(1) Where a member ceases to be employed in circumstances in which he is not eligible for any pension, gratuity or any other benefit under the provisions of this Act, he shall be refunded the amount of his own contributions and that of his employer to the Fund.
(2) Where a member has been employed for a period of not less than five years and the
cessation of such employment is not due to dismissal for misconduct the amount of his own
contribution and that of his employer together with a simple interest at that rate to be determined
by the Board of Trustees shall be paid to him.
Kwa kifupi kabisa, mafao ya kujitoa PPF yapo kisheria kabisa, na wala sio hisani, na wala sio kinyume cha sheria.