Sheria ya Talaka TZ ilegezwe au isilegezwe?


Hiyo nafasi ya kufikiria maamuzi inaitwa "cooling-off period". Kwa Tanzania sijui kama ipo kwenye sheria za talaka. Lakini kwa nchi kama Marekani majimbo mengi yana hicho kipengele cha "cooling-off period" kwa sababu hiyo hiyo uliyoitaja wewe. Kawaida huo muda wa kufikiria huwa ni wa siku tisini (90) ila inategemea na jimbo lenyewe.

Kwa hiyo si kwa vile tu wana no-fault divorce law(s) basi inamaanisha ukienda kuomba talaka leo basi ni kesho yake tu unapata decree. Halafu pia mkitalikiana haimaanishi kuwa hamuwezi tena kuja kuoana. Kuna watu kibao waliotalikiana na baadaye kuja kugundua kuwa walikosea na wakaoana tena.
 
Yes! no one can predict the future,that's why the law is flexible incase it happen otherwise. Make your case it is over.
It's unfair to say 'lot of people are unhappy with marriage'. As an old institution, people who embrace marriage and those on the queue outweigh the minority verbose. Every effort must be done to protect the values of this noble institution. Those skeptical should not join the club until such time when they are ready.
It does make sense!no body is held hostage on marriage. If you think you will fall in the trap, then opt for common law which you get in and out unquestioned.
 
MM, umeirudia rudia hiyo Hivi sasa, nimeshtuka kidogo.
Nimeipitia website ya RITA, naona vijisababu havitokosakana kama inavyofikiriwa.
Kunyimana Unyumba ni sababu mojawapo tosha ya kujipatia talaka.
Kasheshe ni haki za mtalaka wako mtarajiwa, hapo ndio kuna kazi bana.
wengi wetu ni wavivu kusoma sheria na kufuatilia haki.
Rushwa pia inachangia watu wengi kupoteza haki zao.

...Wanasheria mnasemaje?
 
Yes! no one can predict the future,that's why the law is flexible incase it happen otherwise.

It is not flexible enough. It needs to be more flexible.

It is not unfair. It is a fact that unhappy marriages exist. Do you deny this fact?

It does make sense!no body is held hostage on marriage. If you think you will fall in the trap, then opt for common law which you get in and out unquestioned.
You lost me. What exactly are you saying here?
 
It is not flexible enough. It needs to be more flexible.
It is not unfair. It is a fact that unhappy marriages exist. Do you deny this fact?
You lost me. What exactly are you saying here?

It is flexible, please read the post by Mbu just to learn simple reasons you can apply to terminate painful marriage. .
It is unfair to say 'lot of people'. I guess it's just a section of population.
You asserted that marriage is a kind of 'hostage', my answer is, if you think so then stay away from it. You can live with someone without any legal bond (common law), the day you're unhappy with relationship you just walk away.
 
Mi nadhani kunahaja ya wanasheria kulifanyia research hili suala then wakusanye maoni kwa mabatchelor na wanandoa.
 
It is flexible, please read the post by Mbu just to learn simple reasons you can apply to terminate painful marriage. .
It is unfair to say 'lot of people'. I guess it's just a section of population.

So why can't no-fault be also a reason alongside those other reasons?

You asserted that marriage is a kind of 'hostage', my answer is, if you think so then stay away from it. You can live with someone without any legal bond (common law), the day you're unhappy with relationship you just walk away.
My friend, some things in life are unforeseen unless you tell me that you have a crystal ball and are able to tell with surgical exactness what will happen in the future. If so then I am green with envy!!!!
 
To my experience people who are yet to get married are so critical and skeptical of marriage. Nyani Ngabu umeoa? Mbona mimi na enjoy sana tu kuwa kwenye ndoa? Mbona naona vigumu pia ku identify those who don't enjoy at all?
 
To my experience people who are yet to get married are so critical and skeptical of marriage. Nyani Ngabu umeoa? Mbona mimi na enjoy sana tu kuwa kwenye ndoa? Mbona naona vigumu pia ku identify those who don't enjoy at all?

I have a wealth of experience in what I'm talking about!
 
Sheria inafanya tu kuwa siyo rahisi kupata formal divorce. Lakini sidhani kama mtu umedhamiria kuchapa lapa basi sheria inasema mume/mke akufungie ndani ka jela usiondoke. Kwa hiyo mimi bado naamini watu wako happy tu kwenye ndoa zao ndio maana wanaendelea kukaa kwenye ndoa. Japo natambua kuwa kiwango cha furaha ni tofauti toka familia moja hadi nyingine.

Na ninapinga wale wanaodhani kuwa watu wengi walo kwenye ndoa wamo jehanamu.

Msione watu wana complain mkadhani they are the most unhappy persons on earth. Watu wameshajua kuwa jamii inapenda kusikia story mbaya kuhusu wenzao kwa hiyo ndizo wanazosimulia. They don't share the good side of the story.

Ninaweza kusema kama kuna watu wana matatizo makubwa kwenye ndoa basi ni wachache wale ambao unakuta mtaa wote unajua vituko vyao.
 
Reactions: Mbu
Nyani Ngabu;1999314]So why can't no-fault be also a reason alongside those other reasons?
It's because other reasons could better justify divorce than 'no reason'. No -fault is synonymously to 'nothing or I don't want to say'. In some society this is better expression of the feeling, in our society, tradition and culture it doesn't fit well.

Just say, you experienced epileptic episodes which could endanger your life or jogoo is idle to an extent that you inflict psychological trauma to your partner. For girls simply say, jogoo is too tired that you never reach the mountain top. Period!
My friend, some things in life are unforeseen unless you tell me that you have a crystal ball and are able to tell with surgical exactness what will happen in the future. If so then I am green with envy!!!!
No one knows what may happen on the way, in case of unforeseeably event the law has a room to make or break, in such scenario the 'unforeseen' will be a good reason.
It is inconceivable that Nyani Ngabu will hate Ms Y for 'no-fault'. Don't you see that to hate someone for nothing is a reason by itslelf !! what is inside 'no-fault' which I may not be well informed, please help.

Remember not always ''one size fits all', let America exercise what is best for Americans.
 

Get out of here. What is our tradition and culture anyway? The whole marriage thing (the way we do it) is foreign to us. And you are here talking about this and that don't fit with our tradition and culture? Funny.

Just say, you experienced epileptic episodes which could endanger your life or jogoo is idle to an extent that you inflict psychological trauma to your partner. For girls simply say, jogoo is too tired that you never reach the mountain top. Period!

Indecipherable psychobabble. Can you translate it in plain language, please?

No one knows what may happen on the way, in case of unforeseeably event the law has a room to make or break, in such scenario the 'unforeseen' will be a good reason.

The whole marriage thing is overrated, overplayed, and a charade. A motherlode of people don't abide by their marriage vows. So whether no fault or fault, people will do what they have always done and some will have marriage in name only. At the end of the day it is up to the individual who is in the marriage do decide what they want to do.

It is inconceivable that Nyani Ngabu will hate Ms Y for 'no-fault'. Don't you see that to hate someone for nothing is a reason by itslelf !! what is inside 'no-fault' which I may not be well informed, please help.

No fault simply means you don't have to divulge to the public all the info regarding your wanting to divorce. If a married couple have agreed to divorce who are you to ask why if they don't want to share with you their reason(s) for doing so? That's where no fault divorce comes into play. The petitioner simply cites irreconcilable differences and you go from there. What part of that don't you understand?

Remember not always ''one size fits all', let America exercise what is best for Americans.

No fault should be there as an option. That is what I would like to see. That people who value their privacy the law should also accommodate them. But if some like to put their business out there for people to know let the law accommodate them also. What's wrong with that?
 

MM, vipi, ulishapata majibu juu ya maswali haya?

...hapo kwenye wekundu uligusia Talaka haiwezi kutolewa mpaka mahakama iridhike. Mfano mimi nimempa talaka aliyekuwa mke wangu, nikaenda RITA kusajili divorce papers. Bado nitahitajika nipate nyaraka za mahakama na usuluhishi? ndivyo ilivyo sheria za Tanzania kama anavyozungumzia MM hapa?

Kama jibu ni hapana, kwanini sheria inambana mwanamke kulazimika kuombea talaka mahakamani kwa kupitia mabaraza ya upatanishi?
 

heheeh bro vipi tena? wakati sisi tunaandaa harusi , wewe uko kwenye sredi ya talaka.
eniwei acha nirudi lupango nimetoroka leo moja tu na hili addiction sugu. Msalimie shemeji "soulmate"
 
Reactions: Mbu
Mbu kusema ukweli hii thread nimekuwa nikiikwepa kwa sababu ina vipebgele vingi ambavyo vinanipa uchungu na sivielewi kabisa.

But naamini kabisa kuwa sheria hii ina mapungufu mengi na najiuliza tu wanasheria wetu watatusaidiaje!

Klorokwini ....shaka ondoa!
 
Reactions: Mbu
heheeh bro vipi tena? wakati sisi tunaandaa harusi , wewe uko kwenye sredi ya talaka.
eniwei acha nirudi lupango nimetoroka leo moja tu na hili addiction sugu. Msalimie shemeji "soulmate"

....nimekuona bro,...yaani wewe unabanwaaaaaa jumapili ndio unaibuka!
kibano si kawaida! Soulmate is great, hayasimuliki maraha raha anayonipa!

Anyway...hii sredi kama 'kifo' inatugusa wengi, basi tu watu wanaipotezea.
Kujikung'uta vumbi muhimu bana!...


Wengi twadharau hizi official documents kisha siku ya siku tunakuja kurupushwa
na swali, "kama tuliachana,....cheti kipo wapi?".....better make it official.
 
Lakini kwanini ionekane kana kwamba sheria inalazimisha watu wasiopatana kuendelea kuwa pamoja katika ndoa zilizoshindwa?

Nilikuwa nakuheshimu sana kumbe una mawazo mgando namna hii? yaani unataka tu copy tamaduni za kizungu kwa kuwa wewe unaishi huko? au kwa kuwa wao ni wastaarabu sana kuliko watanzania? nadhani baada ya muda utakuja na hoja ya ku save maji na kuwashawishi watanzania watumie toilet paper kama wanavyotumia wamichigan.
 
Hah sikutaka kucheka but imenibidi nitabasamu... Eti kama tuliachana cheti kiko wapi? Umenikumbusha kuna mdogo wangu ye. Ilikuwa kila siku bifu na shemeji, siku ya siku dogo akachana cheti cha ndoa akidai ndo kinachomtia shem kiburi... Ajabu shem katulia sasa sina hakika kama siku wakitaka kuachana awezaulizwa ... Umenioa, cheti kiko wapi?..haya mambo haya!
 
Sokomoko mpendwa, sio kwamba hapa anazungumzia zile ndoa zilizoshindikana 'beyond repair'?! Au mie nilimwelewa ndivyo sivyo? Ni kweli kuna tamaduni nyingine za kuwaachia wennye nazo
 

FYI wanaopendana ndio wanaoogoza kwa kuchukiana inapotokea kutofautiana. Mifano ipo vilevile.

Cha msingi, live your life as it comes.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…