coscated
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 3,264
- 2,676
Nimekua nikitizama movie series za kimarekani (mathalani ukichukulia mfano movie kama 24 ya Kieffer Sutherland almaarufu Jack Bauer, au Shooter ya Bob Lee Swagger).
Unakuta kuna kikundi flani cha raia ambao wanakua wamepewa mafunzo ya kijeshi na wanakodiwa kwa ajili ya kutimiza mission tofauti tofauti za kijeshi na wanalipwa kwa kazi hiyo.
Je Tanzania tuna sheria inayoruhusu mtu kumiliki kikundi na kukipatia mafunzo ya kijeshi? Na kama hatuna je wanajeshi wetu wanapoenda nchi nyingine (mfano wakati ule wa ukombozi wa nchi za kusini) wanahesabika kama mercenaries(wanajeshi wa kukodi)?
Wajuzi wa mambo naomba mje mnisaidie ufahamu juu ya hili.
Cc Infantry Soldier
Unakuta kuna kikundi flani cha raia ambao wanakua wamepewa mafunzo ya kijeshi na wanakodiwa kwa ajili ya kutimiza mission tofauti tofauti za kijeshi na wanalipwa kwa kazi hiyo.
Je Tanzania tuna sheria inayoruhusu mtu kumiliki kikundi na kukipatia mafunzo ya kijeshi? Na kama hatuna je wanajeshi wetu wanapoenda nchi nyingine (mfano wakati ule wa ukombozi wa nchi za kusini) wanahesabika kama mercenaries(wanajeshi wa kukodi)?
Wajuzi wa mambo naomba mje mnisaidie ufahamu juu ya hili.
Cc Infantry Soldier