Afande Nyati
JF-Expert Member
- Nov 10, 2012
- 2,385
- 1,414
Habari zenu wakuu.
Kuna mtu anataka kujenga ghorofa ana pesa zake nyingi tu, ila inasemekana kujenga ghorofa inabidi ukope mkopo bank la sivyo serikali itakufuatilia vyanzo vyako vya mapato na ikiwezekana unaweza kujikuta umefilisiwa.
Na huyu mtu hataki kukopa kwa kutotaka riba sababu ni muislamu. Naomba kujuzwa mtu kama huyu anajisaidia vp na je sheria ya hili suala imekaaje?
Kuna mtu anataka kujenga ghorofa ana pesa zake nyingi tu, ila inasemekana kujenga ghorofa inabidi ukope mkopo bank la sivyo serikali itakufuatilia vyanzo vyako vya mapato na ikiwezekana unaweza kujikuta umefilisiwa.
Na huyu mtu hataki kukopa kwa kutotaka riba sababu ni muislamu. Naomba kujuzwa mtu kama huyu anajisaidia vp na je sheria ya hili suala imekaaje?