Sheria inayombana hapa ni kwamba Nyumba kuanzia ghorofa moja lazima ijengwe Kwa kufuata taratibu za ujenzi,hakikisha anapata consultant Wa kudesign Nyumba hiyo (Architect),then apewe engineer Kwa ajili ya kudesign structures za ghorofa hilo,then taratibu za kujenga atazifanya mshauri Wa ujenzi Qs, halo wote wawe wamesajiliwa Na bodi simamiz za taaluma hizo.
zaidi aingie kwenye tovuti ya CRB/ AQRB au ERB unaweza kupata maelezo zaidi.kikubwa ni kua ghorofa sio jengo la kufanyia mzaha kama halijajengwa Kwa kufuata ushauri Wa wataalam...unaweza sababisha maafa ambayo yanazuilika Kwa kufuata taratibu...Na lazima manispaa au harimashauri husika iruhusu ujenzi baada ya kufuata vigezo vyote.