Sheria ya upandishwaji vyeo kwa wahasibu na wakaguzi (Auditors) kwa wizara,idara na taasisi za serikali

Sheria ya upandishwaji vyeo kwa wahasibu na wakaguzi (Auditors) kwa wizara,idara na taasisi za serikali

Joined
Apr 10, 2017
Posts
25
Reaction score
18
Kuna sheria tofauti zinazotumika kuwapandisha vyeo wahasibu kutoka daraja moja hadi jingine?, maana unaweza kukuta mhasibu mwingine anaendelea wakati wengine wengine wanaishia daraja la chini hata kama kafanya kazi miaka mingi, eg TGS E kwa sababu hawana CPA na wengine wanaendelea japokuwa hawana CPA.
 
Back
Top Bottom