FURUSHI LA CHANJO
JF-Expert Member
- Sep 26, 2022
- 874
- 1,080
Baada ya Museven kujazwa moto na wapambe wake, mwaka 2013 aliamua kuja na sheria kali dhidi ya mashoga nchini Uganda kupitia bunge lake ambapo adhabu ya kosa hilo ilikuwa kifungo cha maisha jela.
Bunge liliipitisha sheria haraka haraka, sheria ambayo ilikuwa kali kuliko sheria nyingine yoyote katika ulimwengu huu isipokuwa sheria dhidi ya mauaji na uhaini.
Kwa mbwembwe zote na madaha ya kisiasa, Museven aliipitisha Rasmi sheria hiyo ili kuanza kutumika na kuwatia hatiani wale wote wanaohusika na vitendo vya kishoga nchini humo.
Baada ya siku kadhaa, kuna beberu moja la Ulaya likaibuka likampiga museven mkwara wa kufa mtu pamoja vitisho vikalii vya kumshughulikia kisiasa na kiuchumi endapo hataifuta hiyo sheria.
Museven alinyauka kama jani kavu la mchicha, akafanya janja janja akaifuta sheria kimya kimya akatokomea shimoni. Waganda wakabaki wanajiuliza kulikoni!!
Hili linatufunza nini kama nchi!! Tuna uwezo wa kushughulika na adha ya ushoga?
Ni nani katika nchi ana uwezo wa kuinuka na kupambana na mashoga hadharani kama KANALI YOWERI KAGUTA MUSEVEN?
Bunge liliipitisha sheria haraka haraka, sheria ambayo ilikuwa kali kuliko sheria nyingine yoyote katika ulimwengu huu isipokuwa sheria dhidi ya mauaji na uhaini.
Kwa mbwembwe zote na madaha ya kisiasa, Museven aliipitisha Rasmi sheria hiyo ili kuanza kutumika na kuwatia hatiani wale wote wanaohusika na vitendo vya kishoga nchini humo.
Baada ya siku kadhaa, kuna beberu moja la Ulaya likaibuka likampiga museven mkwara wa kufa mtu pamoja vitisho vikalii vya kumshughulikia kisiasa na kiuchumi endapo hataifuta hiyo sheria.
Museven alinyauka kama jani kavu la mchicha, akafanya janja janja akaifuta sheria kimya kimya akatokomea shimoni. Waganda wakabaki wanajiuliza kulikoni!!
Hili linatufunza nini kama nchi!! Tuna uwezo wa kushughulika na adha ya ushoga?
Ni nani katika nchi ana uwezo wa kuinuka na kupambana na mashoga hadharani kama KANALI YOWERI KAGUTA MUSEVEN?