MWAKATA KWETU
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 562
- 319
Mwakyembe bado hajasaidia tasnia ya soka hiyo sheria inakandamiza soka na inaingilia mambo ya soka.
Serikali inatakiwa iwe na mpango mkakati wa kuandaa vijana ikiwemo na kujenga vyuo vya michezo na academics kwa ajili ya kuwaandaa vijana.
Hii sheria ya wachezaji watano tu wa nje kwa kila mechi haikubaliki na tunakoeleekea Tanzania tutaporomoka zaidi kutoka kwenye nafasi nne mpaka mbili, pia tusitarajie tutafika hata fainali.
Mwakyembe yeye aandae mipango mikakati ya namna yeye atakavyosaidia soka la Tanzania ni bora kuwa na wachezaji saba wa nje ndani na wanne wa ndani na hawa wanne ni wale wenye kiwango cha juu kama Bocco
Serikali inatakiwa iwe na mpango mkakati wa kuandaa vijana ikiwemo na kujenga vyuo vya michezo na academics kwa ajili ya kuwaandaa vijana.
Hii sheria ya wachezaji watano tu wa nje kwa kila mechi haikubaliki na tunakoeleekea Tanzania tutaporomoka zaidi kutoka kwenye nafasi nne mpaka mbili, pia tusitarajie tutafika hata fainali.
Mwakyembe yeye aandae mipango mikakati ya namna yeye atakavyosaidia soka la Tanzania ni bora kuwa na wachezaji saba wa nje ndani na wanne wa ndani na hawa wanne ni wale wenye kiwango cha juu kama Bocco