wana jf kwanza polen kwa msiba uliotufika wa ndugu yetu sajuki.
Kwa heshima na taadhma naomba mtu yeyote aliye na andiko/dodoso lenye sheria za barabaran anisaidie kwani nahitaji kuzisoma ili napokuwa barabaran niwe well informed.
Asanten natumai nitasaidiwa.
Nawatakien usiku mwema!
Kwa heshima na taadhma naomba mtu yeyote aliye na andiko/dodoso lenye sheria za barabaran anisaidie kwani nahitaji kuzisoma ili napokuwa barabaran niwe well informed.
Asanten natumai nitasaidiwa.
Nawatakien usiku mwema!