Ni matumaini yangu ukirudi kwenye darasa la udereva itakusaidia zaidi ya dodoso unazoomba. Wiki mbili tu utafunguka. Kumbuka tu kwamba wanaozisimamia na kutafsiri kwa vitendo sheria husika bado wapo likizo ndefu na malipo. Jikinge, usiamini sheria inasemaje. Nakutakia kila la heri 2013.