Sheria za barabarani

Sheria za barabarani

Joined
Mar 15, 2013
Posts
17
Reaction score
7
Je ni kosa kuendesha gari ambalo kioo cha mbele kina Crack (ndogo) ? maana nasumbuliwa sana kwa hili... je wale ambao wameweka ribbon kama urembo kuuficha hiyo crack mbona hawasimamishwi?
 
Back
Top Bottom