nchii hii kila kitu siasa tu kwa kweli,
bio fuel ni dili sana kwa sasa hasa upande wa Jatropha oil
nchi nyingi zimeadvance wanatumia hayo mafuta kutengeneza sabuni, mafuta ya kuendeshea magari hata ndege (za abiria), kutegeneza biogas na hata katika biashara ya carbon credit, mimi nimefanya hiyo miradi na wadutch Kilimanjaro, lakini tulipokuwa tunataka kuexpand mradi wetu, serikali ikatujia juu, so ni blabla tu.. lakini kenya wamepiga hatua kuna kampuni jina limenitoka wanataka itakapofika by 2015 zaidi ya 90% ya public car ziwe zinatumia hayo mafuta ni mafuta economical sana .. kwa mfano kama disel au petrol unatumia lita 1 kwa 10km basi kwa jatropha oil unaweza kwenda hata 13 km kwa lita hiyo moja.
Kuna wamama wakimasai walikuwa hapo umasaini arusha walianzisha vikundi vya kutengeza sabuni za jatropha na wakawa wanawauzia wazungu wanaoenda kutalii mbugani.. nawalikuwa wanapiga sana pesa, gafla serikali iakwazuai.. mara hawana leseni, mara waenfde tbs mara tfda , mara wajisajiri yaani ni full longolongo..
Kila lakheri kwa huyo madau anayetaka kujaribu, lakini kama serikali ingeweka mazingira ya kuwafinance wazawa na vijana na kuweka fursa vizuri Jatropha ni big deal, kwanza halina gharama kama any horticulture crop, labda kwa magonjwa kidogo.. but yanatibika.. na bado unaweza fanya kilimo mseto yaani kumix jatropha with food crops na ukavuna ....