Sheria za CAF ni kwa nchi zisizo za kiarabu tu?

Yale mataa ya kumulika mulika kama uko kwenye show ya akudo yalikuwa yanatafuta nini uwanjani?? Harafu unakuta jitu liko hapa na kikwapa chake cha bungo bichi anareta fyoko fyoko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa hili hata mie nakuunga mkono, ule ni upumbavuu kabisaa, moshi na barutii, pia zile mshumaa za umeme, na viberiti vya gas wanawashaa km wehu, afu viongozi wa CAF wanashuhudia,

Wallah lile jambo lingefanywa tofauti na kulee West Africa au North
Team ingepigwa fine kubwaa mnoo.

Ifike mahali CAF iweke sheria kali kuzuia huu ujinga uliotokea leo.
 
Kwa hili hata mie nakuunga mkono, ule ni upumbavuu kabisaa, moshi na barutii, pia zile mshumaa za umeme...
Sawa kabisa, yaani ni aibu sana Kwa CAF, mpira unasimamishwa dakika kadhaa kisa Moshi ni HATARI sana.

Ukiona kiongozi kaingia Kwa RUSHWA anakuwa hananguvu na maamuzi magumu dhidi ya watoa RUSHWA, ndio maana CAF hawadhubutu kuwagusa waarabu Kwa sababu wanapata donge nono Toka kwao.
 
Muafrika akishindwa kitu badala ya kujitathimini yeye anajiondoa kama sehemu ya tatizo halafu anaitupa ndoano ya lawama sehemu tofauti na yeye.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ acheni kulalamika, jifunzeni hizo loopholes nanyi muzitumie kwa manufaa yenu.
 
Tuandaee vizuri timu zetu kwa hii michuano, Tp Mazembe aliwapiga na figisu zao na kutwaa kombe (kabeba mara 5).
 
πŸ˜ƒ
 

Attachments

  • VID-20230530-WA0000.mp4
    217.3 KB
Hata hivyo refa kajitahidi sana ila ndio hivyo mcheza kwao hutumzwa,Yanga ijipange tuu next time..

Nilichopenda Kwa Yanga ni kwamba wameonesha kumbe viwanja vya Ugenini sio ishu kwao na spirit hii wakiendelea nayo next time watafika huku huku tena..

Mwisho Yanga Andaeni Scout kutafuta striker,kipa na Baadhi Nyota wenu aliwemo na kocha maana wanaweza ondoka so pesa mtakazopata tafuteni wachezaji Wazuri.
 
Makolo Madunduka Maandazi yanawashangilia waume zao Waarabu... Mpumbavu ni mpumbavu tuuu...
Mwanaume kumshangilia muarabu maana yake unaweza hata kushika ukuta ukaliwa tigo...
Na yule aliyemshangilia kaizer chief tumwiteje?
Na yule aliyemshangilia wydad nae anaitwaje .
Najua maumivu unayopitia kima wewe[emoji706][emoji706][emoji706][emoji23]
 
Inawezekana ile adhabu aliyopewa Yanga ilikuwa na harufu ya hujuma ndani yake. All in all, nawapongeza kwa kuwavua nguo hao Waarabu na CAF yao.

Maana wamechukua kombe huku wakiwa wamevaa mabendeji kichwani kutokana na kipigo kitakatifu mbele ya maelfu ya mashabiki wao.
 
Yanga mbona nayo ilipigwq mbele ya maelfu ya mashabiki wao
 
Mleta mada nenda ulale upigwe kamoja.
 
Tatizo la kuangalia mechi kwa kushtukiza

Hebu tizama mechi kati ya al ahly na wydad kesho huko Cairo utajionea mengi

Tatizo la kuvamia mpira ukubwani

Kosa la USM Alger ni nini kwani?
Unaonekana wewe ndo umevamia mpira ukubwani au labda huelewi! Sawa, hata hao Al Ahly na Wydad watapiga mafataki kwa fujo zote lakini je, na wenyewe wataadhibiwa kama ambavyo Yanga waliadhibiwa au hizo adhabu ni kwa wengine tu?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…