Sheria za kazi hazifuatwi kampuni ya mke wangu, naweza kuingilia kati?

Sheria za kazi hazifuatwi kampuni ya mke wangu, naweza kuingilia kati?

oyaoya

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2012
Posts
277
Reaction score
39
Mke wangu ameajiriwa kampuni moja hapa Dar, mwajiri anaiendesha atakavyo. Haya ni baadhi ya mapungufu:
1) Hamna mikataba ya kazi inayotolewa
2) malipo ni kiduchu mno na Hakuna makato ya kodi (kwa mishahara inayofkia viwango vya kukatwa) wala pensheni

3) Wanafanyishwa kazi zaidi ya masaa ya kawaida bila ya malipo ya ziada hadi Jumamosi

4) Hamna Public Holiday kwny kampuni hiyo na hakuna malipo yoyote ya ziada ktk siku hizo.

Waajiriwa wanaogopa kuuliza kwa menejiment ya kampuni wakihofia kupoteza vibarua vyao.
Imefikia hatua sasa wameambiwa waende hadi Jumapili.

Wakuu kinachoniuma mke wangu ananyonyesha mtoto wa miezi 11 akirudi usiku amechoka hata haki yangu ya ndoa anaona kero kunipa, je naweza kuingilia kati nikaripoti tatizo hili kwa vyombo vya sheria bila kuathiri vibarua vya wahusika? Naombeni msaada wenu wakuu.
 
Kama vp mtafutie kazi pengine mkuu...kwa judicialy systeam za bongo hata ukiwashtaki watatoa mlungulu na kukushinda kaka...
 
Wataarifu TRA lakini huna haja ya kuogopa mkeo kupoteza kazi cz km ni kweli wanafanyiwa uhuni huo anaweza kuwapeleka CMA au mahakama ya wilaya na akalipwa pesa ndefu na bado wataamriwa wamrudishe kazini kukwepa kuremit pesa kwa mifuko ya hifadhi ya jamii ni offence kubwa na ni Tax evasion
 
Mke wangu ameajiriwa kampuni moja hapa Dar, mwajiri anaiendesha atakavyo. Haya ni baadhi ya mapungufu:
1) Hamna mikataba ya kazi inayotolewa
2) malipo ni kiduchu mno na Hakuna makato ya kodi (kwa mishahara inayofkia viwango vya kukatwa) wala pensheni

3) Wanafanyishwa kazi zaidi ya masaa ya kawaida bila ya malipo ya ziada hadi Jumamosi

4) Hamna Public Holiday kwny kampuni hiyo na hakuna malipo yoyote ya ziada ktk siku hizo.

Waajiriwa wanaogopa kuuliza kwa menejiment ya kampuni wakihofia kupoteza vibarua vyao.
Imefikia hatua sasa wameambiwa waende hadi Jumapili.

Wakuu kinachoniuma mke wangu ananyonyesha mtoto wa miezi 11 akirudi usiku amechoka hata haki yangu ya ndoa anaona kero kunipa, je naweza kuingilia kati nikaripoti tatizo hili kwa vyombo vya sheria bila kuathiri vibarua vya wahusika? Naombeni msaada wenu wakuu.

ni kibarua au ajira,, ebu kuwa straight
 
Wataarifu TRA lakini huna haja ya kuogopa mkeo kupoteza kazi cz km ni kweli wanafanyiwa uhuni huo anaweza kuwapeleka CMA au mahakama ya wilaya na akalipwa pesa ndefu na bado wataamriwa wamrudishe kazini kukwepa kuremit pesa kwa mifuko ya hifadhi ya jamii ni offence kubwa na ni Tax evasion

Nashukuru sana, nilikuwa nafikiria nimtie moyo aende CMA. Hilo la TRA nmelichukua mkuu
 
u a the third party remember, utatumia mzunguko mrefu sana, toa support kubwa kwa mkeo, muonyeshe nini cha kufanya apate haki yake, kujiamini ni muhimu na atapata haki yake.
 
Mke wangu ameajiriwa kampuni moja hapa Dar, mwajiri anaiendesha atakavyo. Haya ni baadhi ya mapungufu:
1) Hamna mikataba ya kazi inayotolewa
2) malipo ni kiduchu mno na Hakuna makato ya kodi (kwa mishahara inayofkia viwango vya kukatwa) wala pensheni

3) Wanafanyishwa kazi zaidi ya masaa ya kawaida bila ya malipo ya ziada hadi Jumamosi

4) Hamna Public Holiday kwny kampuni hiyo na hakuna malipo yoyote ya ziada ktk siku hizo.

Waajiriwa wanaogopa kuuliza kwa menejiment ya kampuni wakihofia kupoteza vibarua vyao.
Imefikia hatua sasa wameambiwa waende hadi Jumapili.

Wakuu kinachoniuma mke wangu ananyonyesha mtoto wa miezi 11 akirudi usiku amechoka hata haki yangu ya ndoa anaona kero kunipa, je naweza kuingilia kati nikaripoti tatizo hili kwa vyombo vya sheria bila kuathiri vibarua vya wahusika? Naombeni msaada wenu wakuu.

broo swala la mkataba ni mskubaliano kat ya mwajiri na mwajiriwa bila ya kushurutishwa.ni waz kwamba hakuna ushurutish ktka mkataba huo ambao ni wa MANENO na unakubalika kabisa.hvyo mkataba upo.kuhusu kod ni kaz ya serikal kukata kodi hvyo kama halipi serikali ndo inatakiwa ihusike hapo na hyo kampun na sio wewe.bla kuogopa anayo nafasi yakurenew mazungumzo na mwajiri then wakikataa bas aache kaz aende kwingine .ila kama ananyonyesha bas aombe kampun impe likzo au awe anatoka mapema kazini.pia kwa sababu mke yupo na ndo yeye aliyeajiriwa we utampa ushauri tu mkeo.
 
Kwanza nakushauri watonye waandishi wa habari, na paparazzi.
Waandishi wa habari ni wapelelezi, na wanaweza kutafuta ushahidi kama kweli hiyo inafanyika katika kampuni hiyo, inaitaji muda na kufikiri, wao wanaweza kurekodi masaa na matukio na kupiga picha.

Hata kamera binafsi unaweza kutumia,
Mfano, mkeo anaweza kuingia kazini na camera bila wafanyakazi wengine kujua.
Na anaweza kuwauliza wenzie maswali, ya kuhusu kazi nk.
Anaweza kufanya hayo kisiri siri bila wengine kujua kama anarecord.
Alafu munapeleka mkanda kwa paparazzi, nae atapata nguvu ya kufuatilia zaidi.

Akitoka hapo, munaenda office za sheria na haki ya kikazi kwa raia, kuwahoji na kama wapo tayari kuzungumzia swala hilo ktk tv ili kuelimisha makampuni yasio jua sheria ya kazi na haki ya binadam. Wakiwa tayari basi anapublish ktk gazeti na ktk tv.
Serikali itaingilia kati.


Kampuni itapata aibu kubwa, na wanaweza kushtakiwa kwa kunyanyasa na kuvunja sheria.
Serikali inaweza kuwafungia kampuni kwa kuvunja sheria na haki ya binadam.

Hapo kampuni inabidi iombe msamaha kwa wafanya kazi wake, na warekebishe masaa ya kazi.

Wakijifanya wajuaji sie wasomaji tutaenda kutia moto hiyo kampuni, ndio hukumu yetu ya jadi
 
Back
Top Bottom