Sheria za kazi zinamsaidia vipi mfanyakazi?

Sheria za kazi zinamsaidia vipi mfanyakazi?

Jay10

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2018
Posts
724
Reaction score
554
Wadau, naomba kujua sheria inasemaje juu ya mwajiri private (kampuni) ambapo mwajiriwa (wafanyakaz wote kwa ujumla hawana mikataba ya kaz) hajapewa mkataba na amefanya kaz zaid ya miaka 3.....+ overtime bila malipo yyte....wakat huo huo kikipotea chochote hata daftar mfanyakaz utalipa.......mfanyakaz anafukuzwa kiholela tu bila chochote.....je huyu mfanyakaz analindwa vp na sheria?
 
Wadau, naomba kujua sheria inasemaje juu ya mwajiri private (kampuni) ambapo mwajiriwa (wafanyakaz wote kwa ujumla hawana mikataba ya kaz) hajapewa mkataba na amefanya kaz zaid ya miaka 3.....+ overtime bila malipo yyte....wakat huo huo kikipotea chochote hata daftar mfanyakaz utalipa.......mfanyakaz anafukuzwa kiholela tu bila chochote.....je huyu mfanyakaz analindwa vp na sheria?
Mbali na sheria ninachokiona hapo niwatu kuingia katika ajira zisizofwata utaratibu wa mikataba kutokana na njaa.

Sheria ya ajira inapinga mtu kufanyishwa kazi bila mkataba. Mkataba ndio silahaa ya mwajiriwa na mwajiri pia, mkataba unapaswa kuwa wamaandishi na uendane na vigezo vyote vya sheria ya kazi, kama kulipwa mshara unaopaswa na kwa wakati, kuwekewa mafao, kupewa bima yaafya, kulipwa overtime nk.

Kama MTU amefukuzwa kazi milango tume ya usuluhishi ya migogoro mahala pakazi ipo na inawasaidia wafanyakazi mahali popote nchini mfanyakazi akiona ameonewa afike ili kupata hakiyake. NB: Haki inatafutwa
 
Mbali na sheria ninachokiona hapo niwatu kuingia katika ajira zisizofwata utaratibu wa mikataba kutokana na njaa.

Sheria ya ajira inapinga mtu kufanyishwa kazi bila mkataba. Mkataba ndio silahaa ya mwajiriwa na mwajiri pia, mkataba unapaswa kuwa wamaandishi na uendane na vigezo vyote vya sheria ya kazi, kama kulipwa mshara unaopaswa na kwa wakati, kuwekewa mafao, kupewa bima yaafya, kulipwa overtime nk.

Kama MTU amefukuzwa kazi milango tume ya usuluhishi ya migogoro mahala pakazi ipo na inawasaidia wafanyakazi mahali popote nchini mfanyakazi akiona ameonewa afike ili kupata hakiyake. NB: Haki inatafutwa
Hapa pia naweza sema kuwa pa1 na njaa ni kwamba Serikali ytu haijawa serious juu ya ufuatiliaji wa hiz kampuni zinazotumikisha watu kwasabab ya njaa zao....serikali ina wajib wa kutetea wananchi wake hasa kwa maswala kama haya ...cha ajab ni rushwa zinatolewa kwA viombo vinavyofuatilia na kusimamia sheria za kaz ktk maeneo hayo......

Hebu nisaidie wap niripot na hatia zchukuliwe ili wafanyakaz waokoke hcho kifungo
 
Hapa pia naweza sema kuwa pa1 na njaa ni kwamba Serikali ytu haijawa serious juu ya ufuatiliaji wa hiz kampuni zinazotumikisha watu kwasabab ya njaa zao....serikali ina wajib wa kutetea wananchi wake hasa kwa maswala kama haya ...cha ajab ni rushwa zinatolewa kwA viombo vinavyofuatilia na kusimamia sheria za kaz ktk maeneo hayo......

Hebu nisaidie wap niripot na hatia zchukuliwe ili wafanyakaz waokoke hcho kifungo
Sehemu yakufikisha malalamiko yako ni tume ya upatanishi na usuluhishi wa migogoro ya wafanyakazi (CMA). Hapo ndipo sehemu sahihi yakupata msaada
 
Hapa pia naweza sema kuwa pa1 na njaa ni kwamba Serikali ytu haijawa serious juu ya ufuatiliaji wa hiz kampuni zinazotumikisha watu kwasabab ya njaa zao....serikali ina wajib wa kutetea wananchi wake hasa kwa maswala kama haya ...cha ajab ni rushwa zinatolewa kwA viombo vinavyofuatilia na kusimamia sheria za kaz ktk maeneo hayo......

Hebu nisaidie wap niripot na hatia zchukuliwe ili wafanyakaz waokoke hcho kifungo
Wafanyakazi wengi wa taasisi binafsi wanapewa mikataba ambayo haiendani na matakwa ya sheria ya ajira, mfano mishahara wanayolipwa lakini hawanauwezo wakufika katika vyombe vinavyohusika nakuwasilisha malalamiko yao.

Nahata ikitokea wakaguzi wamewatembelea wengi hawanaujasiri wakusema ukweli. Kwamaana mwajiri huwa anakuwa na mikataba miwili, uliokidhi vigezo kwajili yakuwaonyesha wakaguzi na ule ambao hujakidhi vigezo ambao ndio mwajiriwa anaujua.
 
Wadau, naomba kujua sheria inasemaje juu ya mwajiri private (kampuni) ambapo mwajiriwa (wafanyakaz wote kwa ujumla hawana mikataba ya kaz) hajapewa mkataba na amefanya kaz zaid ya miaka 3.....+ overtime bila malipo yyte....wakat huo huo kikipotea chochote hata daftar mfanyakaz utalipa.......mfanyakaz anafukuzwa kiholela tu bila chochote.....je huyu mfanyakaz analindwa vp na sheria?
Sheria ya Ajira,Kazi na Mahuasiano Kazini na Kanuni zake inamlinda vyema mfanyakazi na muajiri.
Hivyo basi kutopewa mkataba haimaanishi haki yako kama mfanyakazi haipo....kikubwa tunza kumbukumbu zako za malipo kila mwezi.
Siku ukitaka kudai stahiki zako utaweza kuthibitisha kua ukiajiriwa mahala hapo, utadai malipo yako ya likizo ambazo unatahili kila mwaka...hizo overtime na malipo yote unayotakiwa kupewa kama mfanyakazi.
Ila unatakiwa kuanzia Commission For Mediation and Arbitration ili kuanza usuluhishi na muajiri wako.
Kwa kifupi ni hivi.
 
Back
Top Bottom