Habarini
Kiufupi kodi sio rafiki kwa Mtanzania leo ukitaga kuagiza ka gari used mfano ist ni mil 16,wakati ilikua mil 10 sawa rates imepanda na mafuta yamepanda je mlichukua hatua gani ku balance isifike kiasi hicho?
Je, hizi % kuna ugumu gani kuzipunguza hata iwe kwa mpito tu kubalance Dunia iliyoyapitia?
Mnaongoza Binaadam jamani na nachoamini mimi kiongozi ni mtu mwenye maono na kuongoza kutokana na hali inavyokua je mnadhani milioni 6 iliyozidi itabalansiwa na mshahara au posho ? Na hiyo kiuchumi imekaaje?
Leo ukitoa Container unalipa kodi hadi mil 37 bado ukiuza kwa EFD unalipa kodi za ndani hadi mil 8 bado % 3 ya Jiji dhida ya mauzo yako,bado hujalipa frem
Au kwa sababu nyinyi mna msamaha wa kodi ndio maana hili hamliwazii wala hamlifikirii
Natanguliza shukran za dhati
Kiufupi kodi sio rafiki kwa Mtanzania leo ukitaga kuagiza ka gari used mfano ist ni mil 16,wakati ilikua mil 10 sawa rates imepanda na mafuta yamepanda je mlichukua hatua gani ku balance isifike kiasi hicho?
- Import duty %25
- Excise duty for aged vehicles %30
- Vat %18
- Railway development levy %1.5
Je, hizi % kuna ugumu gani kuzipunguza hata iwe kwa mpito tu kubalance Dunia iliyoyapitia?
Mnaongoza Binaadam jamani na nachoamini mimi kiongozi ni mtu mwenye maono na kuongoza kutokana na hali inavyokua je mnadhani milioni 6 iliyozidi itabalansiwa na mshahara au posho ? Na hiyo kiuchumi imekaaje?
Leo ukitoa Container unalipa kodi hadi mil 37 bado ukiuza kwa EFD unalipa kodi za ndani hadi mil 8 bado % 3 ya Jiji dhida ya mauzo yako,bado hujalipa frem
Au kwa sababu nyinyi mna msamaha wa kodi ndio maana hili hamliwazii wala hamlifikirii
Natanguliza shukran za dhati