Sheria za kuanzisha kampuni ya solar energy

changman

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2011
Posts
229
Reaction score
90
Habari wana jamvini. Kuna wachina wana kampuni ya kuuza vifaa vya solar (umeme wa nguvu ya jua) wanataka kuja kuwekeza katika vijiji vya tanzania. Kwa mwenye uzoefu na hii industry hapa kwetu, sheria zake ziko vipi, kwa maana ya vigezogani mwekezaji anatakiwa awe navyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…